Afrikaans (Suid-Afrika)

منبرٌ كبيرٌ لنشر وسطية الأزهر الشريف بكل لغات العالم

 

Al-Azhar Al-Sharif Inalaani Vikali Tukio la Kuwaponda Askari katika Mji Mkuu wa Ufaransa Paris
Anonym
/ Categories: Main_Category

Al-Azhar Al-Sharif Inalaani Vikali Tukio la Kuwaponda Askari katika Mji Mkuu wa Ufaransa Paris

Al-Azhar Al-Sharif Inalaani Vikali Tukio la Kuwaponda Askari katika Mji Mkuu wa Ufaransa Paris

Al-Azhar Al-Sharif na Imamu wake Mkuu Prof. Ahmad Al-Tayyib, Sheikh wa Al-Azhar Al-Sharif wanalaani vikali tukio la kupondwa lililowalenga wanajeshi wa kikosi cha kupambana na ugaidi katika viunga vya Lofalo Pereh, kaskazini magharibi mwa Mji mkuu wa Ufaransa, Paris, asubuhi ya siku ya Jumatano, tukio ambalo limesababisha kujeruhiwa wanajeshi 6.

Al-Azhar Al-Sharif inasisitiza juu ya msimamo wake thabiti unaokataa namna zote za vurugu na ghasia, ikitaka udharura wa kuunganisha juhudi za kimataifa kwa ajili ya kuumaliza ugaidi na hatari yake ambayo inatishia amani ya kimataifa.

Al-Azhar Al-Sharif ikiwa inalaani tukio hili, inasisitiza juu ya kujumuika pamoja na Jamhuri ya Ufaransa, serikali na raia, katika kupambana na ugaidi, ikiwatakia majeruhi kupona haraka.

Print
5800 Rate this article:
No rating

Please login or register to post comments.

أقسم بالله العظيم أن أكون مخلصًا لديني ولمصر وللأزهر الشريف, وأن أراقب الله في أداء مهمتى بالمركز, مسخرًا علمي وخبرتى لنشر الدعوة الإسلامية, وأن أكون ملازمًا لوسطية الأزهر الشريف, ومحافظًا على قيمه وتقاليده, وأن أؤدي عملي بالأمانة والإخلاص, وأن ألتزم بما ورد في ميثاق العمل بالمركز, والله على ما أقول شهيد.