Kudai kwamba anayekanusha baadhi ya mambo ya dini basi atakuwa ni mkafiri
Kwa mujibu wa kauli yake Mwenyezi Mungu Mtukufu: )Je! Mnaamini baadhi ya Kitabu na mnakataa baadhi yake? Basi hana malipo mwenye kutenda hayo miongoni mwenu ila hizaya katika maisha ya duniani, na Siku ya Kiyama watapelekwa kwenye adhabu kali...
Thursday, 10 August, 2017