Uislamu na Mwingine

  • | Monday, 4 December, 2017
Uislamu na Mwingine

     1-    Utukufu wa Uislamu unadhihirika wazi kwa kumtendea haki ‎asiyekuwa mwislamu, na kwamba jirani yako ni kama ‎nafsi yako haijuzu kumdhuru wala kumfanyia maovu.
2-    Uislamu unakubali kuwepo kwa staarabu na tamaduni mbali mbali, ‎ambapo Mwenyezi Mungu Mtukufu Amesema: "Na kama Mola wako ‎angalitaka, angaliwafanya watu wote kuwa umati mmoja, Lakini ‎hawaachi kukhitalifiana".
3-    Mkataba wa Madina lilikuwa ndilo mfano bora katika historia ya ki‎binadamu, ambalo liliweka misingi imara ya kuishi pamoja ‎kwa amani kati ya wafuasi wa dini mbali mbali na aina za watu kutokana na yale ‎yaliyomo ndani yake.

 

 

 

Print
Tags:
Rate this article:
3.0

Please login or register to post comments.