Hukumu ya kuchinja Ud-hiya na huruma katika Uislamu

Je kuchinja machinjo kunapingana na huruma ambayo Uislamu unaiombea?

  • | Friday, 28 August, 2015

Mwenyezi Mungu amesema "Na nyama hao amekuumbieni. Katika hao mna vifaa vya kutia joto, na manufaa mengineyo, na baadhi yao mnawala." {Surat AN-Nahl, aya 5}, na Amesema (S.W) "Na hakika katika nyama hoa nyinyi mna mazingatio. Tunakunywesheni katika vile viliomo matumboni mwao, vikatoka baina ya mavi na damu, maziwa safi mazuri kwa wanywao." {Surat AN-Nahl, aya 66}, na Amesema (S.W) "Na Mwenyezi Mungu amekujaalieni majumba yenu yawe ni maskani yenu, na amekujaalieni kutokana na ngozi za wanyama nyumba mnazo ziona nyepesi wakati wa safari zenu na wakati wa kutua kwenu. Na kutokana na sufi zao na manyoya yao na nywele zao mnafanya matandiko na mapambo ya kutumia kwa muda."{Surat AN-Nahl, aya 80}, na Mwenyezi Mungu amesema "Enyi mlio amini! Timizeni ahadi. Mmehalalishiwa wanyama wa mifugo, ila wale mnao tajiwa. Lakini msihalalishe kuwinda nanyi mmo katika Hija. Hakika Mwenyezi Mungu anahukumu apendavyo." {Surat Al-Maaida, aya 1}.

Swali hilo limeulizwa hapo kabla, na linarejea kwa zama za kale, ambapo mahujaji walikuwa wanachinja machinjo yao, na hakuwepo watu katika wakati hii wanahitaji machinjo hayo, kwa hivyo hatima ya machinjo hayo huwa uharibifu, na zaidi ya karne arubaini, jumuiya ya misaada na serikali husika wakati wa kufanya ibada ya Hiji zinagawaji nyama kwa mahujaji, wasafiri na maskini wa mji takatifu, na nyama zilizozidi zinafanyiwa ubaridi na kuzihamisha kupitia vyombo vya usafiri miongoni mwake ndege kwa nchi maskini ambazo maskini wake hawawezi kuyala katika mwaka kamili ila mara chache sana kupitia kwa watu wanaoweza kuwasahililisha masikini hao kuzipata, sasa yaliyochukuliwa kutoka machinjo hayo yenye faida kubwa , nyama zake zinaliwa, na wanjinufaisha watu wengi , na ngozi zake, nywele zake, manyoya yake, na wakati mwengine mifupa yake, na inajulikana haja ya binadamu kwa protini, na aina ya chakula hicho kina portini bila shaka, kwa hivyo swali hiyo haifai kuulizwa.

Ama suala la huruma, kuna mahala pa kuchinja wanyama pa kisasa ulimwenguni, pana vifaa vyote vya kisasa vinavyofanya kuchinja kutekelezwa kwa njia iliyosawa, na pia kupata faida kamili kutoka kwa machinjo. Jambo lililoshutumiwa hapo kabla, ambapo sababu za kulishutumu jambo hilo ni zimemalizika, na mambo yakawa yanategemea hukumu za kuhalalisha na kuharamisha. Na Mwenyezi Mungu Anatuhalilisha kuchinja na kula wanyama maalumu na Anatuharamisha wanyama wengine, na amri ni ya Mwenyezi Mungu kabla yake na baada yake.

Na tunajua kwamba nchi za kisasa zina mahala pa kuchinja wanyama pa autumatiki kwa kuku ambayo yanachinja kila siku zaidi ya kuku milioni tatu, na yanachinja malaki ya ng'ombe, na hatusikii mtu ye yote anazungumza kuhusu ukatili wa raia hao kuhusu wanyama, kwani watu hao wanawala, na sisi haturuhusu kula ila yaliyotuhalilishwa na Mwenyezi Mungu, na hakuna dalili moja inayosema kwamba waislamu tu wanaofanya hivyo, vile vile kuna mashamba na viwanda vinavyotegemea kazi hiyo, endapo kazi hiyo inafanyika kutokana na sharia na utu na kistaarabu, basi hakuna aibu yo yote.

 

 

Print
Tags:
Rate this article:
5.0

Please login or register to post comments.