Demokrasia na Uislamu
Je, ni jambo la kikafiri kama wanavyodai wenye mawazo makali?
Friday, 7 August, 2015
Uislamu huheshimu Uhuru wa Kutoa Maoni
Uislamu umeheshimu utu wa mwanadamu na umemwapa haki zinazothibitisha utu wake na umemlazimisha kufanya wajibu zinazofaa na cheo chake, kazi yake katika maisha, na bila shaka haki ya kutoa maoni ni muhimu sana zaidi kuliko haki zingine...
Friday, 7 August, 2015
Uislamu sio dini ya kikabila, na wala hautesi mwingine
Uislamu una mtazamo safi sana kuhusu binadamu na ulimwengu na maisha, na umuhimu wa kubadilisha manufaa na mahusiano kwa usalama baina ya watu. Kwa hivyo usamehe ni silka njema, Uislamu umevumaika uimarishaji wa silka hiyo. Usamehe sio neno...
Friday, 7 August, 2015
Imamu Mkuu katika mkutano wake na waziri wa ulinzi wa Ufaransa :Tunaheshimu msaada wa kudumu wa Ufaransa kwa Misri…..na ugaidi hauhusiani na eneo letu la kiarabu tu bali umepindukia ulimwenguni kote
Mheshimiwa Imamu mkuu wa Al-Azhar Al-Shareif profesa; Ahmed Al-Tayyib alikaribisha leo asubuhi waziri wa ulinzi wa kifaransa Jane Eve Lordian, na ujumbe wanaoambatana naye, ili kutambua mtazamo wa mheshimiwa imamu mkuu kuhusu matukio yanayojiri...
Monday, 27 July, 2015
Al-Azhar Al-Shareif yashutumu mashambulio ya kigaidi katika kaskazini mashariki mwa Nigeria
Al-Azhar Al-Shareif inashutumu mashambulio ya kigaidi ambayo yametekelezwa na wanamgambo wenye silaha wa kundi la Boko Haram dhidi ya miji kadhaa kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambapo mashambulio hayo yamesababisha kuwaua zaidi ya watu arobaini...
Wednesday, 15 July, 2015
First5354555657586062