Imamu Mkuu akataa kumpokea makamu wa Trump akisisitiza: inapaswa kufuta aumuzi huo usio wa kisheria na unaolengea kupoteza haki za wapalestina kuhusu mji mkuu wa nchi yao "Al-Quds"
    Katika taharuki ya kihistoria Mheshimiwa Imamu Mkuu wa Al-Azhar Profesa Ahmed Al-Tayyib amekataa ombi la makamu wa rais wa Marekani Donald Trump kukutana naye mwishoni mwa mwezi huu, akabainisha ghadhabu na kukataa kwake kwa...
Saturday, 9 December, 2017
Katika taarifa ya haraka baada ya Swala ya Ijumaa Imamu Mkuu kwa wenyeji wa Al-Quds: Mapinduzi yenu yawe kwa kiwango cha imani yenu kwa suala lenu...
Katika taarifa ya haraka baada ya Swala ya Ijumaa Imamu Mkuu kwa wenyeji wa Al-Quds: Mapinduzi yenu yawe kwa kiwango cha imani yenu kwa suala lenu, upendo wenu kwa nchi, na sisi tuko pamoja nanyi wala hatutawapuuzeni     Kwa jina...
Friday, 8 December, 2017
Imamu Mkuu: Tunakataa kabisa uamuzi dhalimu wa Tramp, na matatizo ya waarabu na waislamu hayawapa ruhusa ya kupuuza suala la kunusuru Jerusalem “Al-Quds” ya kiarabu kwa haraka haraka
     Mheshimiwa Imamu Mkuu wa Al-Azhar Al-Shareif Profesa; Ahmad Al-Tayyib ameonya kikali kutoka kwa matokeo mabaya yanayoweza kutukia kufuatia uamuzi wa Marekani kwa kutambua mji wa “Al-Quds” kama ni mji mkuu wa...
Thursday, 7 December, 2017
Daesh: Kuipenda nchi na uwananchi sio kutoka Uislamu
     Hakika tukitafuta vizuri katika dini yetu tutakuta  kwamba Mtume (S.A.W) alielezea upendo wake kwa Makkah nchi yake wakati alipofukuzwa na wenyeji wake na akakwenda kuelekea mji wa Al-Madinah akisema: {Ewe Mwenyezi...
Wednesday, 6 December, 2017
Uislamu na Mwingine
     1-    Utukufu wa Uislamu unadhihirika wazi kwa kumtendea haki ‎asiyekuwa mwislamu, na kwamba jirani yako ni kama ‎nafsi yako haijuzu kumdhuru wala kumfanyia maovu. 2-    Uislamu...
Monday, 4 December, 2017
First6465666769717273Last