Daesh: kuhama kutoka nchi za ukafiri kwa nchi za Uislamu ni wajibu juu ya kila Mwislamu, kwa mujibu wa kauli ya Mtume (S.A.W): kuhama haiishi madamu Makafiri wangalipiganiwa

  • | Wednesday, 4 October, 2017
Daesh: kuhama kutoka nchi za ukafiri kwa nchi za Uislamu ni wajibu juu ya kila Mwislamu, kwa mujibu wa kauli ya Mtume (S.A.W): kuhama haiishi madamu Makafiri wangalipiganiwa

     Kwa hakika walichukua vipande vya baadhi ya matini za kisheria wakipuuza kwa makusudi vipande vingine kama vile zile hadithi zinazokanusha uwajibu wa kuhama "Hijrah", kama kauli yake Mtume (S.A.W) iliyosimuliwa na Al-Bukhari kutoka kwa Ibn Abbas (R.A) kwamba Mtume Akasema: "hakuna Hijrah baada ya kuingia Makkah, lakini kuna Jihadi na nia, mtakapotakiwa kwenda kupiga jihadi basi nendeni". Na kauli yake Mtume (S.A.W) kwa mtu aliyemjia kuomba ruhusa yake ili ahame "Hijrah" iliyosimuliwa na Al-Bukhari: "hakuna kuhama "Hijrah" baada ya kuingia Makkah, lakini nitampa ahadi juu ya Uislamu"1 , na kwamba wanachuoni wamekusanya baina ya hadithi hizo kwa kusema: hakika kuhama "Hijrah" ilikwisha baada ya kuingia Makkah.

____________________________

1  Sahihul Bukhari 2913

Print
Tags:
Rate this article:
1.0

Please login or register to post comments.