Al-Azhar Al-Sharif: Golan ni eneo la Syria la kukaliwa hakuna uhalali wa mamlaka ya ukoloni

  • | Tuesday, 26 March, 2019
Al-Azhar Al-Sharif: Golan ni eneo la Syria la kukaliwa hakuna uhalali wa mamlaka ya ukoloni

     Al-Azhar Al-Sharif‎ inalaani taarifa ya utawala wa Marekani siku ya Alhamisi jioni kuhusu kuusaidia utawala‎ wa kiyahudi unaodaiwa dhidi ya eneo la Golan la Syria linalokaliwa.
Al-Azhar Al-Sharif inasisitiza kwamba taarifa hiyo inazingatiwa ni ya kwanza ambayo ulimwengu haujaishuhudia hapo kabla, katika sheria ya mamlaka ya upokaji‎ na ukoloni, pamoja na kupuuza hisia za Waarabu na Waislamu, na maazimio yote ya uhalali wa kimataifa, ambao mara nyingi ulithibitisha kwamba Golan ni eneo la Syria linalokaliwa, na kwamba hatua zote za Kiyahudi dhidi yake ni batili na sio uhalali.

 

Print
Tags:
Rate this article:
No rating

Please login or register to post comments.