Makaribisho makubwa kwa Imamu Mkuu kwenye Chuo Kikuu cha Monester
Imamu Mkuu wa atatoa hotuba baada ya muda fupi kuhusu "Nguzo za Amani katika Dini Tofauti"
Akiambatanishwa na makaribisho makubwa … Imamu Mkuu Imamu Mkuu wa Al-Azhar Al-Shareif Profesa; Ahmad Al-Tayyib, mkuu wa baraza la wakuu wa waislamu, amefika kwenye Chuo Kikuu cha Monester ili kushiriki katika kongamano la "Nguzo za Amani katika Dini Tofauti".
Mheshimiwa Imamu Mkuu alipo;elewa na waziri wa Masomo ya juu, Mkuu wa Chuo Kikuu na Mkuu wa mji wa Monester.