Dondoo za taarifa ya baraza la wakubwa wa waislamu kwenye mkutano wa kujadili ukiukagi wa kizayuni kwa Msikiti mtakatatifu wa Al-Aqsa

mji mkuu wa Jordan, Amman

  • | Saturday, 10 October, 2015

Baraza la wakubwa wa waislamu linashutumu ukiukaji mkubwa wa kizayuni dhidi ya msikiti wa Al-Aqsa …. Na linasisitiza kwamba:
•    Matendo ya kizayuni ni ukiukaji wazi kwa maadili za kibinadamu, misingi ya kidini na maazimio na desturi za kimataifa.
•    Ukiukaji wa kizayuni ni sehemu ya mpango wa kuufanya mji wa Yerusalemu (Al-Quds) ni mji wa kiyahudi, ulioanza tangu zamani.
•    Tunasutumu kazi za kuchimba zinazofanyika chini na kuzunguka kwa msikiti wa Al-Aqsa kwa singizio la kutangaza Hekalu la Sulemani wanalolidai mayahudi.
•    Inapaswa kusimamisha matendo ya kuufanya mji wa Yerusalemu (Al-Quds) ni mji wa kiyahudi na kusimamisha kulazimisha kwa wapalastina kuacha makazi yao kwa nguvu.
•    Tunawataka waislamu wote wajali na suala la Al-Quds na kuchangia uokoaji wa Msikiti wa Al-Aqsa.
•    Jamii ya kimataifa inapaswa kulazimikia jukumu lake ili kuwazuia wazayuni wasifanye matendo mabaya hayo tena.

 

Print
Tags:
Rate this article:
No rating

Please login or register to post comments.