Uislamu sio dini ya kikabila, na wala hautesi mwingine

  • | Friday, 7 August, 2015
Uislamu sio dini ya kikabila, na wala hautesi mwingine

Uislamu una mtazamo safi sana kuhusu binadamu na ulimwengu na maisha, na umuhimu wa kubadilisha manufaa na mahusiano kwa usalama baina ya watu. Kwa hivyo usamehe ni silka njema, Uislamu umevumaika uimarishaji wa silka hiyo. Usamehe sio neno linasemaliwa wala tangazo linatangazwa bali uislamu unauzingatia faradhi ya kidini, na dharura ya kimaisha.
Mtume Muhammad (S.A.W) ameanzisha nchi yake katika Mji wa Almadinah juu ya usamehe na uhamisho wa kutovumiliana, ambapo Uislamu umekubaliana na watu tofauti na dini tofauti na Mwenyezi Mungu amesema " Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu. " {Suratt Al-Mumtahina aya 8}.
Na Fiqhi ya kiislamu inasema kwamba mawasiliano ya waislamu pamoja na wasio waislamu sio haramu wala ukafiri.
Na Mtume Muhammad (S.A.W) amefanya mkataba na Wayahudi baada ya amehamia Al-Madinah, na vipengele vya mkataba vinajumulisha ushirikiano katika manufaa ya pamoja, na Mtume (S.A.W) amekopa kutoka kwa myahudi, na amekopa silaha kutoka kwa Safwan Ibn Umaiya na yeye alikuwa makafiri.
Na Uislamu umesema katika matini tukufu yake kwamba tofauti katika mawazo , rai, na dini hazihitaji uadui au machungu kwa wengeni.
Misingi ya usamehe ilikuwa wazi kwa waislamu kupitia kwa matendo ya Mtume (S.A.W), ambapo Mtume amewapokea wakristo wa Najran katika mskiti wake, na amewaruhusu kusali katika mskiti wake.
Na waislamu waliwafanya wema na uadilifu pamoja na wasio waislamu kutokana na msemo wa Mtume (S.A.W) "Kwao kile tulichonacho na kile tulichonacho kwao" na toka zama zamani kuwepo mawaziri na madaktari wasio waislamu katika ikulu ya kifalme ya wafalme na masultani ya waislamu jambo hilo linakaza usamehe wa Uislamu na na uhamisho wa kutovumilia na udhuluma wengine, na historia imesajili msemo wa Omar Ibn Al-Khatab kwa Amr Ibn Al-aas anapomsema "lini mnawatumwa watu , na mama zao wamewazaliwa wahuru".
Omar Ibn Al-Khatab ameusema baada ya amemlipiza kisasi kutoka mwana wa Amr Ibn Al-aas ambaye amempiga mmoja wa wakristo wa kimisri, na Omar amemalika mwana wa Amr na ameagiza mkristo anampiga mwana wa Amr kisha amesema msemo maarufu wake kwa Amr Ibn Al-aas, jambo hilo linasisitiza juu ya usamehe wa Uislamu na insafu ya mwengine.  

Print
Tags:
Rate this article:
No rating

Please login or register to post comments.