Baadhi ya maswali yaliyoelekiwa kwa Mheshimiwa Imamu Mkuu "Sheikhi wa Al-Azhar"

Jarida la " IL Giorno "

  • | Wednesday, 17 June, 2015
Baadhi ya maswali yaliyoelekiwa kwa Mheshimiwa Imamu Mkuu "Sheikhi wa Al-Azhar"

 

Katika miaka ya mwisho, ilikuwa na baadhi ya kutofahamiana au baadhi ya mkanganyiko katika ufahamu wa misimamo baina ya Al-Fatikan na Al-Azhar , hali nini leo?

·        " Tumeshinda jambo hili, kwani pamoja na uja wa Papa Mtakatifu mpya tufahamu kwamba Al Fatikan amebadilisha njia. Kuna kuangalia kwa maskini- kufahamu- kwa maskini na hohehahe inasawa ufahamu wetu na tahadhari wetu kwao, kuna ukaribiano mkubwa na kamili".

·        Changamoto kwa ISIS: " wanamgambo wa uKhalifah hawawakilishi dini yetu ".

·        " Tunasema " Naam " kwa sheria, na tunasema kwa ukatili "la".

·        Matumizi ya utekeleza wa sheria nayo ni kanuni ya Qurani, kwa maana " iliyochukuliwa na Qurani" hakuzingatii jeuri bali ni kukemea kwa hatia.  

 

 

Print
Categories: Habari
Tags:
Rate this article:
1.0

Please login or register to post comments.