Dhanaya Jihad 2

  • | Saturday, 23 July, 2016
Dhanaya Jihad 2

Jiahd katika falsafa ya Uislamu haipitishwi kwa ajili ya kupanua eneo la dola la kiislamu, au kuzikalia ardhi, au kudhibiti rasimali ya watu wengineo, au kuwashinda watu na kuwadhalilisha, au mambo yo yote mengineyo kati ya malengo ya kimada yanayosababisha kuzuka vita katika staarabu kubwa zaidi duniani hapo zamani na katika enzi ya kisasa, bali Jihad imepitishwa kwa ajili ya kujitetea na kujibu uadui wo wote.

Print
Categories: Dhana ya Jihad
Tags:
Rate this article:
No rating

Please login or register to post comments.