Dhana ya Jihad 9

  • | Sunday, 31 July, 2016

Kwa kweli aya za mwanzo kabisa kuteremshwa kuhusu uagizo kwa kupigania vita ndiyo kauli ya Mwenyezi Mungu (S.W.): "[Wameruhusiwa kupigana wale wanaopigwa vita kwa sababu wamedhulumiwa - na kwa yakini Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kuwasaidia] ......................, [Na lau kuwa Mwenyezi Mungu hawakingi watu kwa watu, basi hapana shaka zingelivunjwa nyumba za wat'awa, na makanisa, na masinagogi, na misikiti.............]", aya hizo mbili zinafungamana na kuwanusuru waliodhulumiwa ili kuwasaidia kupata maisha yenye amani, inakumbukwa kuwa aya hizo zilitaja nyumba za wat'awa, na makanisa, na masinagogi kabla ya kutaja misikiti.

Print
Categories: Dhana ya Jihad
Tags:
Rate this article:
No rating

Please login or register to post comments.