Daesh: Kuufanya urafiki na wasio waislamu ni kufuru
     Kufanya urafiki na wasio waislamu hata wakiwa maadui haizingatiwi kuwa ukafiri bali ni uhalifu mkubwa ambao mtawala anaupitishia adhabu kwa ilivyomzuia haini asikhini tena, lakini haini huyo hubaki mwislamu na haijuzu...
Thursday, 30 November, 2017
Maadili yapinga Vurugu
     1- Hakika sehemu kubwa ya vurugu tunazoziona katika sehemu kadhaa ulimwenguni zinasababishwa na ukosefu au udhaifu wa hisia za kibinadamu na kuvurugika kwa mpangilio wa maadili ya kibinadamu. 2- Bila shaka, jmaii ya leo...
Wednesday, 29 November, 2017
Kuchocheza kuwaua watu kwa kutumia ufahamu usio sahihi wa baadhi ya aya za Qurani na hadithi za Mtume
     Moja wa makala za kundi la kigaidi inazungumza kuhusu vitendo na mafanikio ya kundi la Daesh yaliyofanywa na wanamgambo wake katika nchi kadhaa za Ulaya na majaribio yake ya kutumia hujuma hizo katika kuwahimiza ari ya...
Monday, 27 November, 2017
Maadili ya kibinadamu
     1- Sheria zote za mbinguni zimekusanya kiasi kikubwa cha maadili na misingi ya kibinadamu. Na muhimu kati ya misingi hiyo ni; kuhifadhi roho ya kibinadamu, mali yake, heshima yake na uhuru wake. 2- Mtume wetu S.A.W....
Monday, 27 November, 2017
Imamu Mkuu Alaani shambulio lililolengea Msikiti wa Al-Rawda mjini Areish
     Imamu Mkuu wa Al-Azhar Profesa; Ahmed Al-Tayyib alaani kikali shambulio la kigaidi lililolengea msikiti mmoja wa mtaa wa Bi'r Al-Abd mjini Areish, akisisitiza kuwa ugaidi unataka kuwaathiria wamisri vibaya na...
Saturday, 25 November, 2017
First3637383941434445Last