Daesh: linadai kwamba kujiunga na kundi lao kunamrahisishia mwislamu kutekeleza ibada za Uislamu kwa uhuru !
      Hakika Uislamu unajumuisha mawazo yote ya kibinadamu ambayo hayapingani na dini hii tukufu, na Uislamu wenye wanamgambo hauhitaji vurugu na ukatili wa makundi yenu, bali unahitaji mwendo wastani wa Mtume (S.A.W)...
Thursday, 16 November, 2017
Khiyana na kuvunja ahadi katika Uislamu
1- Mwenyezi Mungu Mtukufu Amewaamrisha waja wake waumini watekeleze ahadi zote na kulazimika kwa majukumu yao yote, zikiwa ahadi hizo na Mwenyezi Mungu au na watu, Mwenyezi Mungu Amesema: "Enyi mlio amini! Timizeni ahadi". 2- Hakika...
Wednesday, 8 November, 2017
Hotuba ya kidini (2)
1- Hakika hotuba sahihi ya kidini husaidia kueneza amani ya pamoja kwa wanadamu wote, na uadilifu na usawa itapatikana katika jamii zote. 2- Hotuba sahihi ya kidini husaidia kupatikana amani ya kinafsi na kuimarisha maadili ya kibinadamu kama...
Wednesday, 8 November, 2017
Hotuba ya kidini
1- Hotuba sahihi ya kidini ni sababu mojawapo sababu muhimu za kuleta utulivu wa jamii, ambapo inachangia sana katika kuleta usalama na amani. 2- Utengenezaji upya wa hotuba ya kidini unapaswa usivuke misingi ya dini na lazima uende sambamba na...
Wednesday, 8 November, 2017
Kuhusu istilahi ya "Waliopotea"
     Kuhusu istilahi ya "Waliopotea" katika kauli yake Mwenyezi Mungu Mtukufu: {Siyo ya waliokasirikiwa, wala waliopotea}, [Al-Fatihah:7]. Ilhali istilahi ya "waliopotea" iliyotajwa katika sura ya...
Saturday, 4 November, 2017
First3839404143454647Last