Daesh: kuwasiliana na kutendeana na asiye mwislamu inavunja msingi wa utii "Al-Walaa" na uasi "Al-Baraa" katika Uislamu
Kutendeana na asiye mwislamu na kusaidiana naye katika mambo, maslahi za pamoja haiwezekani kuwa haramu, na dalili ya hayo ni kwamba Mtume (S.A.W) alitendeana na akawasiliana na wasio waislamu na hakukataza kufanya...
Monday, 25 September, 2017