Hivi leo … Mheshimiwa Imamu Mkuu atoa hotuba ya kimataifa kwa nchi za kimagharibi kutoka Bunge la kijerumani
Mheshimiwa Imamu mkuu profesa; Ahmad Al-Tayyib sheikhi mkuu wa Al-Azhar Al-Shareif na mkuu wa baraza la wakuu wa waislamu atatoa leo hotuba ya kimataifa kwa nchi za kimagharibi kutoka Bunge la kijerumani "Bondestag". Inatarajiwa kwamba...
Tuesday, 15 March, 2016
Mwanzoni mwa ziara yake nchini Ujerumani … Imamu mkuu akutana na viongozi wa makanisa ya kikristo
Mwanzoni mwa ziara yake nchini Ujerumani … Imamu mkuu akutana na viongozi wa makanisa ya kikristo..akisisitiza kwamba: •    Jukumu langu lililo muhimu zaidi ni kueneza usalama ulimwenguni kote na nitamzuru Pope wa...
Tuesday, 15 March, 2016
Dondoo za hotuba ya Imamu Mkuu kwenye Chuo kikuu cha kiislamu cha kiserikali cha Maulana Malik Ibrahim nchini Indonisia
  Dondoo za hotuba ya Imamu Mkuu kwenye Chuo kikuu cha kiislamu cha kiserikali cha Maulana Malik Ibrahim nchini Indonisia Katika sherehe kubwa ya kirasmi na ya kitaifa Indonisia imtunza Mheshimiwa Imamu Mkuu shahada ya...
Thursday, 25 February, 2016
Katika hotuba msikitini mwa Al-Azhar huko Jakarta .. Imamu Mkuu ailinda itikadi ya watu wa Sunna huko Asia ya kusini kwa kuanzisha kumbi za kufundisha sheria
Mheshimiwa Imamu Mkuu profesa; Ahmad Al-Taiyb, Sheikhi Mkuu wa Al-Azhar Al-Sharief, Mkuu wa Baraza la Wakuu wa Waislamu, ametoa hotuba katika msikiti wa Al-Azhar Al-Sharief katika mji mkuu wa Indonisia Jakarta akiwatoa shauri wanafunzi kwa...
Thursday, 25 February, 2016
Hotuba ya Imamu mkuu Profesa; Ahmad Al-Tayib Sheikhi mkuu wa Al-Azhar Al-Shareif nchini Indonisia
kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema Mwenye kurehemu Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, swala na salamu zimfikie Mtume wetu Mohammad (S.A.W.) pamoja na jamaa zake na maswahab wake wote…. Enyi hadhira...
Wednesday, 24 February, 2016
First6566676870727374Last