Imam Mkuu akutana na timu «Enactus Al-Azhar» akisifu uwakilishi wao wa heshima kwa Misri
     Imam Mkuu amesema kwamba "Enactus wa Al-Azhar": ni mfano wa heshima kwa mwanafunzi wa Al-Azhar, ambaye ana faida kwa nchi na ubinadamu wake ---------- Imam Mkuu, Profesa Ahmed Al-Tayeb, Sheikh wa Al-Azhar Al-Sharif,...
Wednesday, 16 September, 2020
"Waislamu wa Rohingya.. ni suala la kibinadamu ambalo bado linatafuta suluhisho".. Video mpya kwa kituo cha uangalizi cha Al-Azhar kwa lugha 12
     Kituo cha uangalizi cha Al-Azhar cha kupambana na fikra kali kilitoa leo asubuhi ripoti ya video kwa lugha kumi na mbili chini ya anuani "Waislamu wa Rohingya.. suala la kibinadamu ambalo bado linatafuta suluhisho."...
Tuesday, 8 September, 2020
Imamu Mkuu: Kuchoma Msahafu kunachochea hisia za chuki na kunadhoofisha matokeo ya mazungumzo ya kidini
     Watu waliofanya uhalifu wa kuchoma msahafu mtukufu wanapaswa kujua kwamba halifu hizo ni ugaidi mkali kwa kiasi chote, ni ubaguzi mbaya ulikataliwa na staarabu zote za kibinadamu, bali ni kuni ya mioto ya ugaidi ambayo...
Thursday, 3 September, 2020
Hija ni wito wa Kuimarisha Mshikamano na Umoja wa Waislamu
     Hapana shaka kwamba lengo la kwanza la Hija ni kuzidisha kumuelekeza mja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, na kumfanya kuwa mnyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu, na kuimarisha uhusiano kwake na kuiingiza kwa ndani zaidi imani katika moyo...
Thursday, 30 July, 2020
Hatari za makundi ya kigaidi katika afrika pamoja na kueneza janga la Corona
     Katika wakati ambayo nchi za Kiafrika zinapambana na janga la Corona ambalo limeeneza kwa njia kubwa katika nchi zote za Afrika, kwa mfano idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona nchini Kenya sasa imefikia zaidi ya elfu...
Sunday, 5 July, 2020
First5556575860626364Last