Katika ziara yake kwa Ukumbi wa Kihistoria wa Amani mjini Monester …. Imamu Mkuu wa Al- Azhar: Amani baina ya mataifa hutegemea mazungumzo baina ya dini
Katika ziara yake kwa Ukumbi wa Kihistoria wa Amani mjini Monester …. Imamu Mkuu wa Al- Azhar: Amani baina ya mataifa hutegemea mazungumzo baina ya dini Kwa kuitika mwaliko wa mkuu wa mji wa Monester nchini...
Thursday, 17 March, 2016
Makaribisho makubwa kwa Imamu Mkuu kwenye Chuo Kikuu cha Monester …. Imamu Mkuu wa atatoa hotuba baada ya muda fupi kuhusu "Nguzo za Amani katika Dini Tofauti"
Makaribisho makubwa kwa Imamu Mkuu kwenye Chuo Kikuu cha Monester Imamu Mkuu wa atatoa hotuba baada ya muda fupi kuhusu "Nguzo za Amani katika Dini Tofauti" Akiambatanishwa na makaribisho makubwa … Imamu Mkuu Imamu Mkuu wa...
Thursday, 17 March, 2016
Hotuba ya Imamu Mkuu wa Al- Azhar katika Bunge la Ujerumani (Bundestag)
Ewe Profesa; Norbert Lamert mkuu wa bunge la Ujerumani Enyi Mabibi na Mabwana waheshimiwa wabunge wa Bundestag Enyi watukufu mlio hadharani! Assalamu Alykuma Warahmatu Allahi Wabarakatuh Mwanzoni mwa hotuba yangu tafadhali nipe ruhusa ya...
Wednesday, 16 March, 2016
Dondoo za hotuba ya Imamu Mkuu wa Al- Azhar katika Bunge ya Ujerumani (Bundestag)
•    Tunashukuru msimamo wa kibinadamu wa mshauri "Merkil" unaohusiana na waliokimbia adhabu ya vita na maangamizi yake huko Mashariki wala hatusahau kusifu mwelekeo wake kuhusu Islamufobia aliposema: Uislamu ni...
Wednesday, 16 March, 2016
Hivi leo … Mheshimiwa Imamu Mkuu atoa hotuba ya kimataifa kwa nchi za kimagharibi kutoka Bunge la kijerumani
Mheshimiwa Imamu mkuu profesa; Ahmad Al-Tayyib sheikhi mkuu wa Al-Azhar Al-Shareif na mkuu wa baraza la wakuu wa waislamu atatoa leo hotuba ya kimataifa kwa nchi za kimagharibi kutoka Bunge la kijerumani "Bondestag". Inatarajiwa kwamba...
Tuesday, 15 March, 2016
First7172737476787980Last