Kuwalazimisha wasio waislamu kujiunga Uislamu
     Swali: je, wasio waislamu wanalazimishwa kufuata Uislamu kwa mujibu wa kauli ya Mwenyezi Mungu ) Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipokutoeni  (, {Al-Baqarah:191}? Jibu la swali Kwanza: fikira ya Qurani...
Sunday, 6 August, 2017
Tuhuma ya kutoa hukumu kwamba waislamu na Mashekhi wao wameritadi
   Ni wazi kwamba wote wamekuwa wanalengwa kutoka makundi ya kitakfiri, makundi yale yaliyotangaza kuwa yeye pekee yanayozungumza kwa jina la Mwenyezi Mungu, na yeye pekee yanayomiliki funguo za pepo na moto. Wao wanakafirisha kila...
Thursday, 3 August, 2017
Ardhi ya ukafiri
Kundi la Daesh linatumia istilahi ya "Ardhi ya ukafiri" na linatangaza kuipiga vita kwa njia yoyote ikiwa ni halali au haramu. Na inawezekana  kujibu juu ya mtazamo na ufahamu huo usio sahihi kwa urithi wa kiislamu kupitia...
Tuesday, 1 August, 2017
Tuhuma ya kuwatendea wema wasio waislamu na kuwasiliana nao kwa zawadi na kuwapongeza katika Idi zao
Haijuzu kudhihirisha upendo kwa wasio waislamu madamu wao hawafuati Uislamu. Na kwamba ni lazima kufuata Nabii Ibrahim (A.S), kwa sababu yeye ni ruwaza njema, pale ambapo imekuja katika Sura ya Al-Mumtahanah kwamba Ibrahim amejitenga na watu wake...
Sunday, 30 July, 2017
Kudai kwamba anayefanya vitendo vya ukafiri basi ni mkafiri hata akisema mimi ni mwislamu
Kujibu: kuna tofauti kati ya tendo la ukafiri na ukafiri wenyewe, basi siyo kila anayefanya tendo la ukafiri ni mkafiri; labda anakuwa anafuata maana au amekosa au jahili kwa anayefanya au siyo baleghe au hana akili, kwa hivyo mambo hayo yote...
Thursday, 27 July, 2017
First7677787981838485Last