Taarifa ya Al-Azhar Al-Shareif kufuatia mkutano wa Imamu Mkuu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
     Mheshimiwa Imamu Mkuu Profesa; Ahmed Al-Tayeb Sheikh Mkuu wa Al-Azhar Al-Shareif alikutana siku ya Jumapili tarehe Machi 24, 2024 Bw. Antonio Guateresh katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa kwenye Makao Makuu wa Al-Azhar Al-Shareif...
Sunday, 24 March, 2024
Ramadhani nchini Senegal
       Idadi ya Waislamu nchini Senegal ni 95%, na mwezi wa Ramadhani kwao ni ishara ya kiroho ya maadili mengi kama vile; mshikamano, ukarimu, uvumilivu, ushirikiano n.k. Maadili haya yanapitishwa kutoka kizazi hadi...
Friday, 22 March, 2024
RAMADHANI NI MWEZI WA USHINDI
Imeandaliwa na Dkt.; Alaa Salah Abdul-Wahed
Thursday, 21 March, 2024
Ramadhani nchini Nigeria
  Nigeria ni nchi iliyopo Afrika magharibi, inapakana na Nigar kwa upande wa kaskazini, Chad kwa upande wa kaskazini mashariki, Cameron kwa upande wa mashariki, Binin kwa upande wa magharibi, pwani yake ya kusini iko kwenye Ghuba ya...
Wednesday, 20 March, 2024
Ramadhani nchini Somalia
       Somalia ni nchi iliyopo Afrika mashariki kwenye eneo linalojulikana kama Pembe ya Afrika, imepakana na Ghuba ya Aden na Bahari ya Hindi kutoka upande wa mashariki, Ethiopia kutoka upande wa magharibi, Djibouti kutoka...
Monday, 18 March, 2024
First678911131415Last