Sheikh wa Al-Azhar ampokea waziri wa ulinzi wa Guinea Conakry, na kujadili njia za kuimarisha ushirikiano katika nyanja za kisayansi na kiulingano
     Mheshimiwa Imamu Mkuu, profesa/ Ahmed Al-Tayyib, Sheikh wa Al Azhar Al Sharif, alimpokea leo, Jumanne, katika makao makuu ya Al-Azhar, Meja Jenerali Abu Bakr Siddiqi Kamara, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Guinea Conakry;...
Wednesday, 19 July, 2023
Makundi Yanayofichwa ya ISIS na Hatari za Kurudi
     Mnamo Aprili 2023, serikali nchini Morocco iliweza kulisambaratisha kundi la kigaidi ambalo wanachama wake walikuwa wakitaka kutekeleza operesheni za kuharibisha nchini, kwa mujibu wa tovuti ya habari ya Sky News, siku ya...
Tuesday, 18 July, 2023
Kiashirio cha operesheni za kigaidi kwenye nchi za Kiafrika kwa Mwezi wa Juni 2023
     Mwezi wa Juni 2023AD ulishuhudia ongezeko wazi katika kiwango cha operesheni za kigaidi zilizofanywa na makundi yenye fikra kali barani Afrika kikilinganishwa na mwezi wa Mei uliopita kwa kiwango cha 20%; Ambapo mwezi huu...
Saturday, 8 July, 2023
Siku ya Arafa ni mojawapo ya maonyesho ya umoja wa Kiislamu
Inatupasa tumshukuru Allah (S.W) kwa neema Aliyotujaalia ya kutuwekea miezi mitukufu, siku tukufu, na nyakati tukufu ambazo matendo mema huwa na thawabu kubwa kabisa. Na miongoni mwa nyakati tukufu hizo ni siku ya Arafa. Siku ya Arafa ni...
Tuesday, 27 June, 2023
Hotuba ya Kuaga ya Mtume ni Azimio la Kimataifa la Amani na Utulivu
   Mtume (S.A.W.) alisimama akihotubia waumini, bali wanadamu wote kwenye siku ya Arafa katika Hijja ya Kuaga, ambapo alitoa maneno mazito ya kusisitiza namna ya kuishi baina ya wanadamu kwa amani na utulivu, siyo hiyo tu bali...
Monday, 26 June, 2023
First1314151618202122Last