Sheikh wa Al-Azhar atoa wito kwa watoa maamuzi ya kimataifa kujifunza ubinadamu kutoka kwa wananchi wao
Mheshimiwa Imamu Mkuu, profesa/ Ahmad Al-Tayyeb, Sheikh wa Al-Azhar, alisema kuwa kwa hakika ulimwengu umepata kile kinachoweza kuitwa "schizophrenia ya kimataifa" iliyodhihiri kwa wazi baada ya uadui wa kizayuni...
Sunday, 19 May, 2024