Hotuba ya Kuaga ya Mtume (S.A.W.) ni Azimio la Kwanza la Amani ya Kimataifa
       Katika siku kama hizi, Mtume (S.A.W.) alisimama akihotubia waumini, bali wanadamu wote kwenye siku ya Arafa katika Hijja ya Kuaga, ambapo alitoa maneno mazito ya kusisitiza namna ya kuishi baina ya wanadamu kwa...
Tuesday, 28 June, 2022
Mchango wa Elimu na Utamaduni katika Kujenga mtu mwenye nafsi na akili timamu
     Inatajwa kuwa imani ya kweli inahimiza tabia njema na mwenendo mzuri unaotokana na maadili mema na kudhibiti maumbile ya mtu kukubali lililo sawa na kukataa mabaya na maovu. Kwa mujibu wa sheria ya kiislamu mwanadamu...
Sunday, 19 June, 2022
Al_Azhar yalaani shambulio la kigaidi kwenye moja ya vituo vya maji magharibi mwa Sinai, na kuwaomboleza mashahidi wa nchi
     Al_Azhar Al-Sharif inalaani vikali shambulio la kigaidi lililolenga kituo cha kuinua maji magharibi mwa Sinai, ambalo lilisababisha kifo cha afisa mmoja na wanajeshi 10, na wengine 5 kujeruhiwa. Al_Azhar inasisitiza kwamba...
Sunday, 8 May, 2022
"Ramadhani" ni mwezi wa huruma na amani siyo wa dhuluma na uadui
     Ramadhani ni mwezi wa kufunga, kusimama, na kusoma Qurani, nayo ni mwezi wa ukarimu, wema, huruma, msamaha, na kufanya kheri, Mwenyezi Mungu Mtukufu Anasema: ﴾Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni...
Sunday, 17 April, 2022
Hukumu ya Ubakaji wa mke kwa maoni ya Uislamu
     Ubakaji wa mke kwa maoni ya wana fiqhi wa kiislamu inakuwa katika hali ya kuomba mumu kwa kufanya ngono na mkewe katika upande wa Hedhi  au kwa njia isiyo kawaida  au wakati wa Ibada ya faridha ya Saumu, na Mwenyezi...
Sunday, 3 April, 2022
First1819202123252627Last